Julius na Aroni (walifariki Caerleon, leo nchini Wales, 304 hivi) walikuwa Wakristo waliouawa katika dhuluma wa kaisari Diokletian[1].
Kabla yao aliuawa Albano, halafu wengine wengi kwa ukatili mkubwa.
Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 22 Juni[2].
Rich TVX News Network Site
Rich TVX News Network Info
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search